Kazi imefanyika Songea -Ruvuma
Ni moja ya kazi zilizotamba katika tasnia ya filamu ikiwashirikisha wasanii wachanga wenye vipaji vya hali ya juu.
Hawa ni baadhi ya mastar wa kazi hiyo
|
Shukrani Faraji Star wa Ahelahida Akiwa na mmoja wa washiriki kataika filamu hiyo iliyotoka mwaka jana.Kijana huyu yupo mbiani kuachia movie nyingine inayokwenda kwa jina la AFRICAN BIG MAMA kazi hiyo inayotarajiwa kuachiwa mapema mwezi ujao akimshirikisha nguli wa filamu hapa home MR JENGUA(MOHAMMEDI FUNGAFUNG) |
No comments:
Post a Comment