Thursday, 19 September 2013

Mmoja wa mastar wa Africa Big Mama katika poz lake

Filam nyingine alizofanya ni pmoja na Adelahida(Vita dhidi ya mauaji ya Mapacha na Albino)
Anaitwa shukran Faraji wenyewe wanamuita mtoto wa Manispaa.Ndiye mmiliki na staring wa movie ya (African big mama)vita juu ya unyanyasaji wa wanawake.Akiongea na blog ya Forever entertainment Mr faraji amewaomba wakazi wa songea na maeneo ya jiran na songea na watanzania kwa ujumla kwamba watanzani wakae mkao wa kula kupokea bonge la filam ambayo imekutanisha vichwa vikubwa kwenye sanaa ya filam kama Mohammed Fungafunga(jengua).Either akaongeza kuwa yupo kwenye maandalizi ya filam nyingine ambayo hakuwa tayari kuitaja jina. 

No comments:

Post a Comment