MWANAFUNZI AMCHOMA KISU BABA YAKE MZAZI BAADA YA KUMWAMBIA AACHE MAPENZI NA ASOME...!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-eJlbBF1dTTg/UjgGY25kj_I/AAAAAAAAlkM/ntp5GkekYQs/s1600/Denti2.jpg)
DENTI
wa Shule ya Sekondari ya Erkisongo iliyopo wilayani Monduli mkoani
Arusha, anadaiwa kumchoma kisu katika paji la uso baba yake mzazi Daudi
Msemo baada ya kuonywa kuachana na tabia ya kuchanganya ngono na
masomo.
Hayo
yamesemwa na Fatuma Daudi ambaye ni mama mzazi wa mwanafunzi huyo mara
baada kutokea tukio hilo la kusikitisha hivi karibuni nyumbani kwao
Monduli ambapo denti alipofikishwa polisi alisema alifanya kitendo
hicho kwa sababu baba yake alitaka kumbaka.“Binti yetu huyu
amekuwa akibadilika tabia na mara nyingi tumekuwa tukimuonya aache
vitendo vya umalaya akiwa mwanafunzi lakini bado amekuwa akiendeleza
tabia...
No comments:
Post a Comment