Friday, 27 September 2013

MSANII WA WIKI

Katika maboresho ya blog yetu tumeanzisha ukurasa mpya utakaotumika kumtangaza msanii Chipukizi hivo basi wasnii mnaombwa kuwasliana nami katika matumizi ya ukurasa huu.
Msanii wetu leo ni Mwiba Namalove Ifuatayo ni profile yake kwa ufupi
JINA :Mwiba Namalove

KABILA:Mgoni


ALIKOZALIWA:Songea -Ruvuma


ANAKOISHI:Songea - Ruvuma




 

KUNDI ANALOIGIZIA:South Jemedari Arts




NAFASI  KATIKA SANAA:Katibu wa Songea Movie Club


No comments:

Post a Comment