Anaitwa GRORY MDUDA ndiye tuliemuaga siku hiyo wakati akijiandaa kufunga pingu za maisha na Mr DAUDI MZIRAY pichani chini
Kama ndugu zake Gloria kwa pamoja tunamtakia kila la kheri ndugu yetu,dada yetu kipenzi katika safari yake ya maishayalilyo na changamoto za kila namna.Dada gloria tunafurahi kutuletea shemeji yetu,kwa hilo unastahili pongezi hasa ukizingatia jinsi dunia ilivyoharibika.
Mr Daudi kwa pamoja tunakukaribisha Iringa tuje kula Ka'mbwa pamoja ila tunaamini utakuwa mlinzi bora wa dada yetu.Kila la kheli katika hilo na MUNGU AWAPE MAISHA MAREFU yenye kheri na fanaka tele.
BAADHI YA MATUKIO KATIKA SEND OFF HII
WE LOVE YOU ALL MR DAUDI MZIRAY & MISS GLORIA MDUDA
No comments:
Post a Comment