Friday, 27 September 2013

HABARI NYEPESI:FILAMU YA STRESS KUZINDULIWA KWA KISHINDO-IRINGA

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu hatimaye kundi maana Mundu sanaa Group linatarajia kuzindua kazi yao mpya iendayo kwa jina STRESS.Filamu hiyo ikiwashirikisha mastar wakubwa wa Iringa kama Luckson Dickson Luswema ambaye ndo producer wa kazi hiyo na Athanas Kipera(Kibela).Pamoja Superstar kutoka Bongo movie Msanii Benny
HOLLOWW...........!
Filamu hiyo inatarajiwa kuzinduliwa  mwezi ujao yaani October katika ukumbi utakaotangazwa hapo baadaye.Wapenzi na mashabiki wa filamu mkoa wa Iringa mnaombwa mkae mkao wa kula.Kwa mujibu wa Mr luckson itakuwa ni bonge la uzinduzi,haijawahi kutotea hapa The Stone Town(IRINGA)

NI NDANII YA BONGE LA UKUMBI   iSiMiLa HOTEL

18 october,wasanii  kibao wa kuimba na kuigiza watakuepo




No comments:

Post a Comment