Monday, 4 November 2013

Eddo Bashil arudi kazini kwa kishindo Eddo Bashil mtangazaji wa ridio Ebony hivi sasa yupo makambako katika shoo za mtikisiko baada ya siku kazaa kurudi kazani apokelewa na mashabiki rukuki kiasikwamba hakutegemea kama itakuwa hivyo Eddo pichani akimpa mkono shabiki wake alie vaa kofia enye rangi nyeupe na nyeusi Eddo amemaliza na kusema kuwa hana chakuwalipa mashabiki wake zaidi ya mwenyez mungu pekee na kuahidi kuwa atajitupa kadri ya uwezo wake katika kuwalizisha mashabiki wake kikazi


No comments:

Post a Comment